CHIEF NTINGINYA SECONDARY SCHOOL

CHIEF NTINGINYA SECONDARY SCHOOL
mkuu wa shule akiwaapisha viongozi wa wanafunzi baada ya uchaguzi

Thursday 28 April 2016

CHIEF YAJICHIMBIA KILELENI BASHE CUP

Timu ya sekondari ya chief ntinginya inaongoza kundi B zikiwemo timu za shule za sekondari za badri, Nzega day na itilo baada ya kuzichakaza vizuri timu ya badri na nzega day na hivyo kujijengea mazingara mazuri ya kuongoza kundilo lao, mechi ya mwisho inayosubiliwa kwa hamu ni kati ya chief vs itilo, ilifanikiwa kushinda basi itakutana na mshindi wa pili kutoka kundi A lililo na timu za uchama, samora, ijanija na FDC. 

No comments:

Post a Comment